FAIDA SABA ZA MAOMBI YA KUFUNGA

FAIDA SABA ZA MAOMBI YA KUFUNGA

FAIDA SABA ZA MAOMBI YA KUFUNGA 



Utangulizi
Ni siku njema tena Mungu katupa mimi na ww unaesoma post hii ili uweze kutoa maoni yako na ili kuzidi kufundishana na kujengana katika mambo kadha wa kadha katika maisha. Leo tumeanza namaswala ya kiimani lakin kadri siku zitavyozidi kusonga tutakua na mada na mawazo lukuki juu ya maisha yetu kiujumla.
Unaweza ukajiuliza
Maombi ni nini?
1.The request is to seek, to scourge God." Luke 18: 1
3.The request is to speak to God Isaiah 1:18
4.The request is to clarify our need / need in the sight of GOD, Philippians 4: 6
5. Prayer is Prior to GOD "ACTS 13: 2
6.The request is to fight spiritual warfare, EPHESIANS 6:18
7.The request is to settle with GOD Isaiah 30:15
Watu wanatofautiana katika utumiaji wa maombi katika kutafuta ufumbuzi wa haja zetu, na leo tutaangalia maombi ya kufunga
Mtu anawe anaweza akajiuliza nini maana ya kufunga.
Kufunga ni kujizuia mambo yote ya anasa na kutenga ule muda kumtafakari na kumwomba Mungu kwa kipindi cha muda fulani ambao utakua umejiwekea.
Wengi hufunga kwa kutokula na kutakufanya mambo mengine ya anasa hivyo kwa ule muda kutulia na kumwomba Mungu wao kutokana na haja mioyo yao. Hivyo kwa ufupi tunaweza kusema kufunga ni kijisogeza karibu na Mungu na kujadili mahitaji au shukrani zetu.
Luka 2:37. (Naye ni mjane wa miaka themanini na minne haondoki katika hekalu ila huabudu usiku na mchana kwa kufunga na kuomba). Huu ni mfano wa mama mzee sana wa miaka 84 lakini alikua na uwezo wa kufunga na kuomba kiasi ambacho Mungu anamwona nakumtambua.
Yote haya chanzo chake ni kufunga. Nini faida za kufunga kwa ujumla?
FAIDA SABA ZA MAOMBI YA KUFUNGA
Maombi ya kufunga hufanya yafuatayo:-
1. Hukuza kiwango cha imani.
Mathayo 17:21. [Lakini namna hii haitoki ila kwa kusali na kufunga]. Kwasababu kunamambo ambayo yatawezekana tu baadaya kufunga na kuomba, hivyo ni dhairi kwamba unapofunga imani huongezeka na kujiamini hivyo mambo yasiyo wezekana huwezekana.
2. Hufungua na kuongeza ufanisi wa macho ya ndani.
Zaburi 119:18. Nifungue macho yangu niyatazame maajabu yatokayo katika sheria yako.
Mambo mengine ya kiroho kuyatambua ni lazima ufumbuliwe macho ndipo utaona
Maombi ya kufunga yatakufungua macho yako ya ndani nawe utaweza kuona palipo sirini, iwe nimaadui zako au balaa mikosi na hatari n.k.  kuwapata walio kuzunguka . Hivyo bhasi tuyaishi maombi ya kufunga.
3. Mwili wako utakua umetiishwa.
Wakolosai 3:5 "basi vifisheni viungo vyenu vilivyo katika katika nchi, washerati, uchafu, tamaa mbaya mawazo mabaya na kutamani ndiyo ibada ya sanamu"
1Thethalonike 5:17." Ombeni bila kukoma".
Marko 11;24. "Kwa sababu hiyo nawaambiayo, yote myaombayo mkisali, aminini, yakwamba mnayopokea nayatakua yenu
Tujaribu kuunga vitabu hivi vyote tunaona kua miili yetu imejaa dhambi nyingi sana kama ilivyo andikwa kwa Wakolosai lakini wathethalonike anatuambia tuombe bila kukoma na ili maombi yetu yafanikiwe inabidi tuombe tukiamini tunayo yaomba . Na kusali kwetu tumtengee Mungu muda wa kutosha ili kupata muda wa kutosha katika kusali na kua karibu na Mungu, hapo ni vyema tukafunga.
4. Kupokea majibu ya tunayo yaomba.
Kupokea katika maombi ni ahadi ya Mungu kwetu (mathayo 7:7)
1yohana  5:14-15. Hapa tunaona maneno ya Mungu kuwa tunao ujasiri kwa maana kila tukiombacho tutakipokea hivyo haja  na mahitaji yetu tuyaweke katika maombi Mungu wetu ni mwema na fadhili zake ni amina hivyo atatujibu sawasawa na neno lake. Tuombe sana na zaidi kwa kufunga.
5. Utamruhusu roho mtakatifu kukutumia.
1kor 12:11. Lakini kazi hizi huzitenda ROHO huyo mmoja yeye yule akimgawia mtu peke yake kama apendavyo yeye.
Lakini ndugu yangu roho mtakatifu anayeongelewa hapatikani pengine kutoa kwa maombi ya kufunga na kumita kwa nguvu kumkaribisha na kumpa ukaribu kuliko rafiki mwingine yeyote hapo ataanza kukutumia kwa viwango vingine nawe utaona furaha ndani ya bwana.
Warumi 8:26-27
6. Utakua na ujasiri kwa kila kitu.
Ujasiri unatokana na roho mtakatifu aliyepo ndani yako,
7. Utakua na nguvu za Mungu.
Mathayo 11:12
Zaburi 66:18-19
Nawapenda sana 
Lakini najua Mungu anatupenda zaidi
UBARIKIWE

Comments

Popular posts from this blog

GENERALYl TRUCK AND FIELD EVENTS